HABARI KATIKA PICHA-MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI.
Posted On: March 17th, 2021
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wakiwa katika mkutano wa kupitisha taarifa ya mapato na matumizi robo ya pili ya mwaka wa fedha 2020/2021.
Katika kipindi hiki cha Oktoba –Desemba Halmashauri imepokea na kukusanya Jumla ya Tsh 4,938,023,120.85 sawa na asilimia 64.7% ya makisio ya kukusanya Tshs 7,629,852,875,00.
Imeandaliwa na
Kitengo cha Habari na Uhusiano
Manispa ya Kinondoni.
Matangazo
- TANGAZO KUHUSU VIBANDA VYA MWENGEFebruary 22, 2021
- TAARIFA KUHUSIANA NA WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINAFebruary 18, 2021
- TANGAZO KUHUSU WAMILIKI WA KUMBI ZA BURUDANI, SHEREHE NA BAAJanuary 22, 2021
- HAWA HAPA WADAIWA SUGU WA LESENI ZA BIASHARA MANISPAA YA KINONDONIDecember 04, 2020 Tazama zote
0 comments:
Post a Comment